a Mwa 5:22; 12:4-7; 20:5; 28:3; 35:11; 43:14; 48:3; 49:25; Kut 6:3; 18:13; Rut 1:20; Ay 5:17; 6:4, 14; 22:21; 33:19; 36:16; Isa 13:6; Yoe 1:15; Mik 6:9; 1Fal 3:6; 9:4; Za 15:2; 18:23; 78:72; 101:2
Genesis 17:1-6
Agano La Tohara
1 aAbramu alipokuwa na miaka tisini na tisa, Bwana akamtokea akamwambia, “Mimi ndimi Mwenyezi Mungu; ▼▼ Mwenyezi Mungu hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (yaani Mungu Mwenye utoshelevu wote).
enenda mbele zangu na uishi kwa unyofu. 2 cNami nitafanya Agano langu kati yangu na wewe, nami nitakuzidisha sana sana.” 3 dAbramu akaanguka kifudifudi, naye Mungu akamwambia, 4 e“Kwa upande wangu, hili ndilo Agano langu na wewe: Wewe utakuwa baba wa mataifa mengi. 5 fJina lako hutaitwa tena Abramu, bali jina lako litakuwa Ibrahimu, ▼▼ Ibrahimu maana yake Baba wa watu wengi.
kwa maana nimekufanya wewe baba wa mataifa mengi. 6 hNitakufanya uwe na uzao mwingi sana, kwako yatatoka mataifa nao wafalme watatoka kwako.
Copyright information for
SwhKC